JOHARI: MAPENZI BONGO WIZI MTUPU!

No Comments

MKONGWE Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’, ametoa mtazamo wake kwa kusema Bongo hakuna mapenzi ya dhati, wengi wanaangalia maslahi.
Mkongwe Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’,
Akizungumza na Bongowood, Johari ambaye alidaiwa kumwagana na Vincent Kigosi ‘Ray’, alitiririka:
“Bongo ni wizi mtupu, labda Ulaya. Kila siku sisi tunadanganyana tu,” alisema Johari.
back to top