![](http://api.ning.com/files/NnMed0rJC6ZB02TdaGP1L3UZB4emPhuEJuDCemZTfbKFcgCaVmKLgfWV*u42wIESaX0HY6O6gHgsjRS5Lm-vlEiB8tljyg4C/AUNTY.jpg?width=650)
MAJANGA! Mtoto mzuri Bongo Movies, Irene Paul amefunguka kuwa licha ya wasanii wa filamu kujitutumua lakini wameshindwa kuvuka mipaka ya Kimataifa.
Akieleza masikitiko yake, Irene alimtaja Lupita:“Inaniuma sana kumuona Lupita Nyongo amevuka mipaka ya Kenya kikazi, sisi tunashindwaje?” alisema Irene.