KWA WAKUBWA TU:UNAJUA KWANINI WANAWAKE WENGI HAWAPENDI KUTUMIA CONDOM?

No Comments
kawaida wanawake wanafikia kilele 
(mwisho wa utamu wa ngono) kati ya 
dakika ishirini na saa moja, yaani kwa 
kifupi inawachukua muda mrefu sana hali 
inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na 
ufanyaji wake utakuwa wa "ovyo" hali 
itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu 
ya kuendelea. 
Pamoja na kuchelewa huko ambako 
kunatokana na utofauti wetu kati ya 
mwanaume na mwanamke lakini 
nakumbuka hapo nyuma nilikutana na 
wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na 
wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua 
utamu wa tendo hilo alimaharufu kama 
"kufanya mapenzi". 
Natambua kuwa ni ngumu au niseme si 
wanawake wote ambao wamejaaliwa 
kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika 
kileleni zaidi ya mara mbili kila 
wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni 
kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba 
hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi 
ya dk 45) na ikiwa jamaa ni "mzamiaji" basi 
unaweza ukaondoka na goli 3 ktk 
mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi 
baadhi yao tu ndio wafike kileleni na 
wengine wasijue hata utamu huo ukoje 
(well ule wa kipele ni tofauti kabisa na ule 
wa kisimi) lakini sio mbaya kama utapata 
hata huo wa juu kwa juu ambao ni wa 
kisimini. 
Sehemu pekee ambayo itakufanya 
wewemwanamke ufike kileleni kwa haraka 
ni kwa kufanyiwa kazi kwenye kisimi 
chako. Kuna wanaume ambao ni "wajanja" 
na hawaoni tabu kutumia ndimi zao 
kuwaridhisha wapenzi wao, wengine 
hutumia vidole na wengi hutumia uume 
wao.
back to top