ONA JINSI MKUDE SIMBA ALIVYOMPAGAWISHA PENNY

No Comments
 

Hehehehe mimi sina chakuongeza hapo.....Ila kaka yetu (MKUDE SIMBA) 
kama hakuwa COMFORTABLE hivi.....Hawa madada wa mjina NOUMA SANA.
..siunakumbuka ile ya DIVA [KAMA ULI-MISS SOMA HAPA]sasa ni ya PENNY
 ( yeah yuleyule aliekuwa wa Diamond P) 
Ila tuache utani huu Mkisi una ma hisia hadi macho kufumbaaa...
..Hii nawaachia mmalize wenyewe!!! 
KISHA KAANDIKA 
 

<<<<<<<<<<<<<<<>>>>>>>>>>>>>>>>>>>> 
back to top