HAYA NDO MAENEO 12 YENYE MSISIMKO KWA MWANAMKE
Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu .
wakati tendo hilo wa wanyama lipo kwa ajili ya kuzaa, kwa upande wa
binadamu ni zaidi ya kuzaa. Mapenzi au tendo la ndoa ni sanaa hivyo
inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hilo.yafuatayo ni
ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume atayashughulikia
ipasavyo bila shala mtafurahia uumbaji wake MUNGU.
1. MIDOMO YAKE
Tumia midomo yako, ulimi wako na meno yako kuchezea
mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko
mkubwa. Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya
mwanamke kwenda kileleni
(usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu kwa kweli)
2. UKE NA KINEMBE
Tumia kidole chako cha kwanza cha mkono wa kulia polepole
pitisha
katika mfereji wa uke ukianzia chini (kutokea kwenye ****** )
ukipandisha juu,fanya hivyo mara kadhaa kutegemea umbo lako
na urefu,
unaweza kuchanganya zoezi hili na kunyonya matiti yake na hapo utaona
upumuaji wake ukibadilika na maji maji yakiongezeka kwenye uke .
kwa kawaida kinembe cha mwanamke kimejificha lakini ukifanya vizuri zoezi
la hapo
juu na chenyewe kama uume kitajaa damu na kuinuka. Kinembe kipo juu
kabisa
ya mfereji wa uke na kina ukubwa wa harage au kwa wanawake wengine
huwa kidogo zaidi .
tumia kidole chako cha kwanza na taratibe zungusha kidole juu ya kinembe ,
pandisha na kushusha kidole chako hapo unaweza kumfikisha kwenye kilele
cha utamu wa mapenzi hata kabla hujaingiza uume .Wanawake wengi watafurahia
ukitukia uume wako uliosimama vzr kupigapiga eneo la kinembe nah ii
huufanya uume kuwa wa moto na unapomuingilia joto la uume wako litafanya
raha ya tendo hili kuwa kubwa zaidi.
Kinembe ndio sehemu ambayo kwa asilimia 80 huhusika na kazi ya kumfikisha
mwanamke kileleni na kwa kuwa kinembe kiko mbali kidogo toka kwenye tundu la
uke sio rahisi kwa uume kufikia kinembe hivyo mwanaume anatakiwa ajisukume
kwa makusudi kabisa kwenda mbele ili shina la uume liguse kinembe wakati wa
kuingia na kutoka kwa uume.
3. MATITI YAKE
Matiti yake ni sehemu muhimu sana kwa mwanamke kama ilivyo kwa uke wake.
Utamatia raha kamili mwanamke kama utayapapasa papasa matiti yake,
utayaminyaminya kwa upole wa kimahaba utayalambalamba na kuyanyonya.
4. MASIKIO YAKE
Wanawake wengi hupata burudani masikioni yao yanapolambwa au kunyonywa au
kupigwa busu.
5. SEHEMU YA SHINGO YA NYUMA
Tumia ulimi wako kulamba sehemu ya shingo yake kwa mwendo wa kutekenya
tumia ncha ya ulimi kutekenya tekenya kwa kufanya mduara na kuendelea
kuchora mduara na kurudiarudia.
6. SEHEMU YA NYUMA YA GOTI
Sehemu ya nyuma ya goti ina miishio mingi ya mishipa ya fahamu na utashangaa
jinsi ammbavyo mwanamke atapata raha kwa kuishughulikia sehemu hii.
7. SEHEMU YA NDANI YA MAPAJA
Tumia ubapa wa kiganja chake kupapasa kwa ulaini wa sehemu ya ndani ya
mapaja yake fanya hivyo juu juu huku ukimbusu mapaja yake.
8. MATAKO YAKE
Wanawake wengi wanapenda matako yao yachezewe kimahaba kwa
kuyaapasa ,endelea kwa kuminya kwa kutumia vidole.
9. MIISHO YAKE
Miguu yake imejaaa miisho ya mishipa ya fahamu kiasi ambacho baadhi ya
wanawake wanaweza kufika katika kilele cha burudani ya tendo la ndoa kwa
miguu yao kusuguliwa na kupapaswa.
10. USO WAKE
Mwanamke atafurahi sana atakashika uso wake katika hali ya mahaba
na huku ukitabasamu .wakati ukifanya hivyo unaweza kumbusu midomo
yake mashavu na kwenye paji la uso.
