AFRIKA 'OUT' KOMBE LA DUNIA 2014

No Comments
Paul Pogba wa Ufaransa akifunga bao la kwanza dhidi ya Nigeria katika dakika ya 78 ya mchezo.
Juwon Oshaniwa wa Nigeria (kulia) akijaribu kumzuia kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba.
Mesut Ozil akishangilia bao aliloifungia Ujerumani na kuiondoa Algeria.
Kiungo wa Algeria, Mehdi Mostefa akiwa na majonzi baada ya timu yake kuondolewa Kombe la Dunia.
TIMU mbili za Afrika zilizokuwa zimebaki katika Michuano ya Kombe la Dunia linaloendelea nchini Brazil, Nigeria na Algeria nazo zimeyaaga mashindano hayo. Katika mechi ya kwanza Nigeria walikubali kichapo cha 2-0 kutoka kwa timu ya Ufaransa huku Algeria akipigwa 2-1 na Ujerumani. Kwa matokeo hayo, Ufaransa na  Ujerumani zitakutana Robo Fainali Julai 4 mwaka huu.   
back to top