Serena Williams Avamia Harusi na Nguo za Kuogea 'Bikini wedding crasher!'

No Comments


Hii ni NOUMA sana... mwanadada Serena Williams  kupitia 
ukurasa wake wa INSTAGRAM 
ameshare nasi picha ambazo yeye mwenyewe kaziandika
 kama " Bikini wedding crasher!"
 na nyingine akaiandika kama
 "Wedding crasher!! Congrats" akionekana amevalia kingua 
cha kuogea ....Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita 
, Meam Beach. ambapo Serena 
alikuwa aki balizi maeneo ya BICHI ..then Maharusi 
 walikuwa wakipiga picha ...
walivyo muona wakamuita na kupiganaye picha...
Kwa mujibu wa vyombo vya UDAKU inasemakana
 Serana na maharusi hao walifurahia tukio hilo...



back to top