HATIMAYE wasanii Vanita Omari na Paulynus Mtenda wameuaga ubachela kwa kufunga ndoa ambazo zilipambwa na wasanii wenzao kutoka klabu ya Bongo Movie, wakiwemo Steve Mengere ‘Nyerere’, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ambao walijumuika katika ukumbi wa Mwika uliopo Sinza jjini Dar.
Post a Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
