Utajiri wa Irene Uwoya waanza kuwa gumzo,

No Comments
Utajiri wa Irene Uwoya waanza kuwa gumzo, watu wahoji amepata wapi mali zote hizo. Mwenyewe afunguka na haya

Inadaiwa kuwa hali ya hewa imechafuka kwa msanii 
nyota wa filamu za Bongo Irene Uwoya ambapo ameshindwa
 kutaja vyanzo vya utajiri wake wa Ghafla, Hivi karibuni Uwoya
 alikaririwa akisema kuwa hawezi kutaja kazi nyingine anayofanya 
na utajiri aliokuwa nao kwani wapo baadhi ya watu hawapendi kuona
 mmoja wao akiendelea ...Alisema kuwa pamoja na magari 
anayomiliki ya kifahari hawezi sema ni njia gani amepata 
utajiri huo..Nimefanya Filamu kadhaa ambazo zimenipa 
hela na cha zaidi ni Jina ambalo limenifanya kupata Deals
 zingine zinazonipa Pesa..Jina langu ni Kubwa so
 lazima liendane na Mali ninazopata..alisema uwoya
back to top