UTAALAMU WA KUDILI NA SEHEMU N**TI ZA MWANAMKE ILI KUMKOJOLESHA MARAMBILI KWA WAKATI MMOJA.

No Comments


Zipo sehemu nyingi sana zinazoweza kumfanya mwanamke ajisikie utamu 
ambao hakuwahi kuuhisi kutoka kwenye kitendo chochote zaidi ya wakati
 wa kufanya mapenzi, Raha hii hutegemea sana na utaalamu wa
 kuchezeana na kudili na sehemu zinazotoa mshawasha zaidi katika mwili.

Leo tutaangalia sikio ambalo liikishughulikiwa sawasawa huweza 
kumfanya aongee hata maneno asiyoyajua kutokana na raha aipatayo

Mtu anaweza kuona kuwa hii ni sehemu ndogo sana ambayo haina 
mchango wowote katika kumpa raha mpenzi wako,ukweli ni kwamba 
hii si sehemu ya mchezo hata kidogo kwani mwanaume/mwanamke
 hupata raha sana anaposhughulikiwa masikio yake, kwani masikio
 ni kiungo chenye uwezo mkubwa sana wa kuleta/kuamsha hisia
 zilizolala.

Namna ya kudili na kiungo hiki.

*Hakikisha masikio yako yako safi kila wakati na si muda wa kufanya 
mapenzi pekee.Usafi huu hufanywa wakati wa kuoga na baada
 ya hapo unaweza kutumia cotton buds (pamba za masikio)
 ili mkuondoa uchafu uliopo sehemu ya ndani kabisa ya masikio.

*Wakati mmeanza kushikana na kuchezeana hapa na pale,anza
 kwa kumnong’oneza mpenzi wako huku ukimwambia maneno
 matamu,baada ya muda mfupi anza kumbusu masikioni kwa upole
 na taratibu (mabusu yasiyo na sauti).
*Baada ya kumwagia mabusu yenye sauti ya chini anza kulamba 
sehemu yake ya nje ya masikio huku mikono yako ikimpapasa
 mgongoni na sehemu nyingine kwa mahaba. Waweza kumtekenya
 kidogo huku ukimpa maneno ya kuliwaza.
*Anza kuuchomoa ulimi wako na kuungiza katika kona mbali mbali
 za sikio la mpenzi wako huku ukishusha pumzi taratiibu. 
Waweza pia kufyonza kimtindo kijishimo cha sikio na ukifanya
 hivi utamwona tu mpenzi wako anaruka kwa msisimko wa ajabu.
Usimfyonze kwa nguvu kishimo cha sikio kwani unaweza
 kumsababishia maumivu.


*Ukiendelea na shughuli hii nyeti mnaweza  kujikuta
 mnapiz kabla hata hamjafanya mapenzi,Kama hautaki kupoteza 
sana muda na sehemu hii ya sikio waweza hamia sehemu zingine 
kama shingo,chuchu nk.
back to top