NGUO ZINAZOFAA KUVALIWA CHUMBANI,UKIWA NA MPENZI WAKO

No Comments
Photo: NGUO ZINAZOFAA KUVALIWA CHUMBANI,UKIWA NA MPENZI WAKO.

Mapenzi ni hisia,na hisia hizo huwa kwa wote yaani kwa wanaume pamoja na wanawake,baadhi ya walio kwenye uhusiano huwalalamikia sana wenzi wao na sababu kuu huwa ni kutokuwa na hamu ya kufanya nao tendo la ndoa.Hapa nitazungumzia mavazi yanayopaswa kuvaliwa chumbani hasa mnapokuwa wawili tu yaani mke na mume..
 Mwanaume siku zote huwa na hisia za haraka sana hasa ukimjulia,lakini baadhi ya wanawake huwa wanashindwa kuzijua haraka mbinu za kumpandisha mzuka mumewe hata kama amechoka au ana hasira kwa siku hiyo...Ndugu yangu uchawi rahisi kwa mumeo ni kumvalia nguo nyepesi na yenye kuonyesha maumbile yako kamili,hii inaweza kuwa gauni nyepesi inayoonyesha maumbile yako ama siku hizi kuna mitandio milaini ambayo pia unaweza kuivaa pindi unapokuwa na mwenzi wako,ikumbukwe pia wanaume wengi hupatwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume kwa kukosa hisia za kufanya tendo hilo lakini wanawake ni dawa nzuri ya tatizo hilo ikiwa ataweza kumuhamasisha mumewe kwa njia mbalimbali ikiwemo ya vazi ambalo litamfanya mzee asisimke...

mumewe hata kama amechoka au ana hasira kwa siku hiyo..
.Ndugu yangu uchawi rahisi kwa mumeo ni kumvalia nguo nyepesi
 na yenye kuonyesha maumbile yako kamili,hii inaweza kuwa gauni
 nyepesi inayoonyesha maumbile yako ama siku hizi kuna mitandio
 milaini ambayo pia unaweza kuivaa pindi unapokuwa na mwenzi wako
,ikumbukwe pia wanaume wengi hupatwa na tatizo la ukosefu wa nguvu
 za kiume kwa kukosa hisia za kufanya tendo hilo lakini wanawake ni dawa
 nzuri ya tatizo hilo ikiwa ataweza kumuhamasisha mumewe kwa njia mbalimbali
 ikiwemo ya vazi ambalo litamfanya mzee asisimke.. Mapenzi ni hisia,na hisia hizo 
huwa kwa wote yaani kwa wanaume pamoja na wanawake,baadhi ya walio
 kwenye uhusiano huwalalamikia sana wenzi wao na sababu kuu huwa
 ni kutokuwa na hamu ya kufanya nao tendo la ndoa.Hapa nitazungumzia
 mavazi yanayopaswa kuvaliwa chumbani hasa mnapokuwa wawili tu yaani
 mke na mume..
Mwanaume siku zote huwa na hisia za haraka sana hasa ukimjulia,lakini

 baadhi ya wanawake huwa wanashindwa kuzijua haraka mbinu za 
kumpandisha mzuka mumewe hata kama amechoka au ana hasira
 kwa siku hiyo...Ndugu yangu uchawi rahisi kwa mumeo ni kumvalia
 nguo nyepesi na yenye kuonyesha maumbile yako kamili,hii inaweza 
kuwa gauni nyepesi.

kuna mitandio milaini ambayo pia unaweza kuivaa pindi unapokuwa
 na mwenzi wako,ikumbukwe pia wanaume wengi hupatwa na tatizo la
 ukosefu wa nguvu za kiume kwa kukosa hisia za kufanya tendo hilo
 lakini wanawake ni dawa nzuri ya tatizo hilo ikiwa ataweza kumuhamasisha
 mumewe kwa njia mbalimbali ikiwemo ya vazi ambalo litamfanya mzee asisimke
back to top