MAMBO 11 AMBAYO MWANAUME ANATAKIWA KUYAFANYA ILI KUMRIDHISHA MWANAMKE NA KUJIHAKIKISHIA KUMMILIKI KABISA !!!

No Comments
http://2.bp.blogspot.com/_Uf3wKuI_75k/SB_ec7vt6RI/AAAAAAAAATE/gNcBI3QVUas/s400/Haohao.bmp

Moja ya makosa makubwa ambayo yamekuwa yakifanywa
 na wanaume, ni kujifunza mbinu mbalimbali za kuwatomba
 wanawake zao wakidhania kuwa kujua namna na staili 
mbalimbali, ndio kunawafanya wanawake zao kufikia kileleni.
 Nasema ni makosa kwasababu, wakati mwanaume yeye 
anapokuwa na mwanamke akili yake mara nyingi huwa ni
 kutaka kumtomba hadi amkojoleshe, wanawake kwa 
upande wao, wameumbwa kutaka kuridhika na sio kukojoa tu. 
Na ndio maana, katika makala hii, hatutagusia mbinu za
 kutombana hadi umkojoleshe mwanamke, bali mambo
 ambayo wanawake wanayataka
 (wanataka kufanyiwa wakiwa kitandani), ili waweze kutosheka na
 raha wanazopewa na wenza wao.

Inawezekana kabisa kuwa yapo mengi sana ambayo
 wanayataka, so haimaanishi kuwa nilichoandika hapa ndio
 iwe katiba yenu katika kutombana, bali ni mwongozo na ambao
 umegusia yale yaliyo ya muhimu sana ambayo aghalabu wanawake
 wote ndio wanayataka. Kwa yale ambayo yamepungua, wanawake
 wenyewe watafunguka hapa na kuyaeleza, na kwa yale ambayo 
wanadhani hayako sawa....ruksa kuyarekebisha pia. Otherwise,
 hapa ni mambo 11, ambayo mwanaume ukiyafanya kwa 

mwanamke wako, hakika utakuwa umejijengea ulinzi wa yeye 
mwenyewe kujilinda dhidi ya mwizi au dokozi yeyote huko nje. 

#1 – Mfanye akojoe kabla hujamuingia 
Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo,
 lakini ukweli ndio uko hivyo. Hili ni jambo ambalo wanawake 
wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao lakini ambalo
 wanaume huwa hawalifanyi. Wengi huwaandaa wanawake kwa
 lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye kuma, kwa
 maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa
 urahisi, lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo. 

Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke akojoe
 kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya
 afurahie lile tendo la kutiana zaidi na kukuweka miongoni
 mwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake. 
Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji
 tu kuingia kwa mboo yako aweze kupiga bao la pili,
 na hii inamaanisha kuwa inaweza kuwasaidia sana wale
 ambao huwa wanakabiliwa na tatizo la kukojoa haraka sana.
Hata ukipigwa bao la usoni sawa tu...Mruhusu!!! 

#2 – Vumbua maeneo mengine yenye kumsisimua 
Ndio, sote tunajua kuhusu matiti, kisimi, kiharage,
 kunyonya ulimi na mengine, lakini hadithi haitakiwi 
kuishia hapo tu. Kama ambavyo wanaume wamezoea
 baadhi ya maeneo yenye kuelezwa kuwa yanamsisimua
 sana mwanamke, ndivyo ambavyo nao huzoea sana kusisimuliwa
 kupitia maeneo hayo. Hii maana yake ni kuwa, unaweza kujikuta
 unazama kwenye ile hali ya kuzoeleka sana, ambapo akikuona tu,
 anakuwa tayari anajua huyu ataanza hapa, ataishia pale na atakojoa
 namna hii. Hili haliwezi kumsisimua mwanamke. 

Mwili wa mwanamke, una maeneo zaidi ya 16, ambayo
 yakichezewa au kuguswa kiufundi wa kimahaba, huweza
 hata kumfanya mwanamke huyo kukojoa kabla ya kuingiliwa.
 Tumezoea G-Sport kwa mfano, lakini ni wangapi tunajua
 kuhusu U-Spot katika uchi wa mwanamke? Wangapi
 tunajua kuhusu A-Spot? ..... ufahamu vizuri mwili wa
 mpenzi wako, na uuzingatie wote kwa ujumla wakati
 wa kurahatupuika naye, na hakika utakuwa shujaa wake.
Matiti yakisisimuliwa vizuri ni kiungo cha ajabu kwa mwanamke! 

#3 – Usiwe kama kuku 
Ndio, licha ya kuwa hapo awali tunaambiwa kuwa ikiwa
 utaweza kumfanya mwanamke akojoe kabla ya kumuingilia,
 unamjengea mazingira ya kukojoa haraka pindi unapomuingilia, 
lakini haimaanishi basi uwe kama kuku au risasi, kwamba
 ikishachochewa tu basi inachomoka kwa spidi isiyomithilika. 

Mwanaume kumudu kudumu kwenye kutiana kwa muda wa kutosha,
 ni moja ya mambo yenye kumjengea heshima kwa mwanamke wake
 na kumuona kuwa yu shujaa. Sometimes, pumzi zako kitandani 
zinaweza pia kutafsiriwa kuwa ni pumzi za mtaani, na kama kitandani
 hauko nazo za kutosha, itakuwaje siku mmevamiwa mkiwa matembezini
 na watu unaotakiwa kupigana nao? 

Tofauti kubwa sana baina ya wanaume na wanawake ni kuwa,
 wanaume wengi hutombana kwa minajili ya kukojoa, ilhali
 wanawake hutombana kwa minajili ya kustarehe. So, 
usiifanye starehe hiyo kuwa ya dakika moja...lakini pia
 usiiifanye kuwa ya kukarahisha, kama ambavyo wanaume
 wengi wanaamini kuwa kumsugua mwanamke uchi hadi 
akahitaji barafu la kujikanda ili ipoe, ni ushujaa. Nusu saa
 hadi dakika 50 ni muda muafaka kabisa, na zaidi ya dakika 60, 
kwa wanawake wengi inaweza kuwaondolea sence ya starehe
 na wakajiona kama wanalipishwa walicholishwa.

#4 – Maandalizi ya kumpa mshawasha wa kuihitaji 
Ndio, wapo wanaume wengi tu, hata humu Darasa La 
Watu wazima wanaoweza kujinadi kuwa wanajua kuwaandaa
 wanawake zao kwakuwa wanajua kuwanyonya visimil kunyonya
 matiti nk, lakini ukweli ni kwamba wengi hatuko hivyo. Kama
 ambavyo nimetanabaisha hapo awali, asilimia kubwa ya
 wanaume huwachezea wanawake sio kwa lengo la kuamsha
 hisia zao kwa ajili ya kutiana, bali kwa minajili ya kuwafanya
 wapate ule ute ambao utawarahisishia wao kuingia. 

Kitu kikubwa wanachopendelea wanawake, ni aina ya
 mwanaume ambaye anaweza kumfanyia vimichezo vya
 kumtia nyege hadi ikiwezekana aanze kuililia mboo. 
Jidai kama unataka kumnyonya kisimi, lakini usifanye hivyo,

 pumua usawa wa mdomo wa kuma yake kiasi cha kumfanya
 ahisi pumzi yako, mlambe mapajani...sio lazima kila siku iwe
 kwenye tundu la kuma....... haya ni baadhi ya yatayomfanya
 aanze kutamani kwani unakuwa tofauti tofauti, na ukiamsha
 hisia zake kwa namna ya kipekee. Na hili basi ndilo lenye
 kupelekea umuhimu wa jambo jingine lifuatalo ambalo
 wanawake hulihitaji....cheki namba 5 hapa chini
Tumichezo kama hutu twa tunasaidia... 

#5 – Kutiana kwa ulimi/mdomo 
Inashangaza sana kwa kweli...wakati wanaume
 wengi wamekuwa wakijisifia sana kwa kuwafanyia
 maandalizi wenza wao, tafiti zinaonyesha kuwa,
 zaidi ya asilimia 70 yao wamekuwa wakieleza
 kuwa wanafanya hivyo kwa kutumia tu vidole vyao. 
Sawa na ambavyo asilimia 70 ya wanawake walisema 
kuwa wanadhani kwa kutumia tu viganja vyao wanaweza
 kumfanya mwanaume akasimama vya kutosha kuwaingilia. 
Ukweli ni kwamba, hii sio sahihi kabisa. Umepewa viungo
 zaidi kwa ajili ya kumfanya mwenzako aweze kufurahia
 tendo la ndoa,
 na ikiwa unaweza kuvitumia, kwanini unavibania bania? 
Unaona kinyaa kwa mwenza wako au ni nini hasa? 
Tumia ulimi wako, mnyonye kila mahali ambako
 unadhani ulimi huo unaweza
 kufika na ukamfanya aseme "Oh...am going crazy" 

#6 – Msisimue kwa kauli zako 
Wanaume wengi sana huwa mabubu wawapo 
kitandani wakihofia kuwa wapenzi wao watawafikiria
 namna gani vipi wakisema sema wakati wanatombana 
nao...lakini mbona wengine huwa wanaishia kupiga
 makelele wanapotaka kushusha mizigo yao?
 Kama unaweza kushindwa kujibana kupiga kelele
 wakati wa kukojoa, kwanini basi ujizuie kumpa
 maneno matamu matamu wakati unaendelea kumstarehesha? 

Nong'ona kwenye sikio lake, mweleze kiasi gani ni mtamu...
.hata zile oooh....sss....mmmm zako, zifanye sikioni kwake....
.wanawake huwa hawajisikii raha sana wanapokuwa 
wanaguswa hata kwenye kitu gani wakati wa kutiana,
 ikiwa mwanaume yuko kimya tuuu, utadhani dumwana
 ambalo linashangaa kilichoko mbele yake. 
Anakuwa hajui kama unaenjoy anachokifanya kwako au laa.
 Ni sawa na wewe mwanaume, unajisikiaje pale unapokuwa
 umemgusa mwanamke mahali fulani penye mzizi wa utamu
 na akaanza kukwambia kwa ile sauti ya kipekee 
akisema "hapo hapo...hapo hapo jamani raaaha"....
 Epuka tu sauti yako isiwe ambayo itamfanya anywee
 kama alomwagiwa maji ya baridi ilhali alikuwa anakaribia
 kuanza kuelea angani.
Unaweza kumsifia hata kabla gemu halijaanza.... 

#7 – Jenga mahusiano ya macho yenu 
Hivi, ishakutokea ukakojoa ukiwa unamtizama mpenzi wako
 machoni kwa muda wote wa tukio hilo tu la kukojoa? 
Au kumtizama machoni moja kwa moja yeye akiwa anakojoa? 
Kwa taarifa yako, hili ni moja kati ya mambo yaliyo na raha ya
 kipekee ambayo huwezi kuelezea kwa maneno.
 Mawasiliano ya macho wakati wa kutombana, 
huimarisha sana ile hali ya msisimko baina yenu na
 ikiwa inatokea mwanamke uliye naye alishawahi kutokewa
 na mwanaume ambaye wakati wanatiana alikuwa akimtizama
 usoni moja kwa moja, basi si ajabu mtapomaliza akajitoa
 kimaso maso na kukuuliza "mbona ulifumba macho wakati 
unakojoa", na hapa atakuwa akimaanisha kuwa 
kuna ulichomnyima. 

Mwanaume, jitahidi kubadili utaratibu wa kila siku kuzima
 taa wakati mnatiana, acha taa ziwake wakati mwingine,
 na zipo taa ambazo zenyewe tu kwa uwezo wa rangi zake,
 huwafanya mjihisi mko dunia nyingine kabisa, kumbe ni
 kwenye kitanda chenu kile kile ambacho kila siku mnakitumia.
 Mazoea ni mabaya, lakini haimaanishi kuwa hamuwezi kubadilika,
 na ikiwa unaweza kuongoza jahazi la mabadiliko haya, akizoea
 hakika atakuwa akikufurahia zaidi. 

#8 – Mzingatie baada ya kumaliza kurahatupuika 
Jambo moja ambalo wanaume wanafanya makosa,
 ni kumu-ignore mwanamke punde wanapokuwa 
wamemaliza kutiana. Hawajui kuwa, huu ni muda 
ambao mwanamke anakuwa yuko wazi mno kwao, muda
 ambao unaweza kumueleza lolote na akakuelewa zaidi ya
 ambavyo angekuelewa wakati mwingine wowote ule.
 Kimaumbile, wanawake hawakuumbwa kupoa haraka 
pindi wanapokuwa wamemaliza lile tendo la kutombwa. 

So, unaweza kuwa umemkojolesha na kumgusa kila angle
 ambayo unaijua, lakini kitendo cha kumkumbatia, ukampiga
 busu na kumwambia "asante", huku ukimruhusu alaze kichwa
 chake tu kifuani mwako kwa kupumzika, kina maana kubwa 
sana, iliyo sawa au hata zaidi ya kitendo mnachokuwa mmetoka
 kukifanya. Huu ni wakati wa kummwagia kila aina ya sifa ambayo
 anaistahili, na ndio muda muafaka wa kumuandaa kuwa na hamu 
ya wewe safari nyingine utapomhitaji. 

#9 – Mpe fursa ya kuliongoza jahazi kwa niaba yako 
Wanaume wengi sana wameumbwa kutaka kuwa vinara
 kwa kila kitu, hata wanapokuwa kwenye kutiana, hupenda 
wao ndio waongoze kila move. Sio mbaya kwasababu 
wanawake nao wameumbwa kuwaongoza wanawake na hilo
 linaeleweka. Ni kweli kuwa una wajibu wa kuhakikisha
 unamgusa kila anapotaka, umfikishe kileleni anapopaota,
 lakini kwa upande wa pili, kuna asilimia kubwa tu ya wanawake
 ambao wangependa sana kupewa fursa ya wao kutawala 
dimba wakati wa mchezo. 

Sio suala la kumwambia, leo mie nitalala tu na kukuacha
 uhangaike na mboo yangu unavyotaka,laa...atakuona mdhaifu,
 uliyechoka au unayemsusia tu. Kwa kutumia ile ile dhana ya wewe
 kuongoza jahazi, hakikisha unatengeneza mazingira ya yeye
 kuutawala mchezo na kuongoza mashambulizi kuelekea anakoona
 kuwa mshambuliaji atafunga goli la msimu. Wanawake wana-enjoy
 sana wanapoona kuwa wanaume wao wamewapa mamlaka ya
 kutawala dimba, kwani hiyo huwajengea fikra za kuwa wanaaminika
 kiuwezo, kiuchezeshaji na hata kiumaliziaji. 

Wapo mfano wanawake ambao hupenda sana kunyinya mboo za 
wapenzi wao hadi kukojoa, lakini anapotaka kujaribu tu, unakuta
 janaume hilo, linamwambia aaah, mie sipendi hiyo....au anamuacha
 ila akikaribia anaanza kumwambia acha nitakojoa .... si umuache?
 Kwani unadhani yeye hajui kuwa akikunyonya utakojoa? Mpe nafasi,
 anyonye anavyotaka, hata kama ni kukojoa, mkojolee mdomoni tu,
 maana yu ajua kuwa ndio mwisho wake, lakini kwakuwa anataka
 umtombe, lazima atajua pia namna ya kukurejesha askari wako 
awe mkakamavu.
Hata kama akitaka "akutombe" mruhusu tu...!!! 

#10 – Ondoa mazoea 
Wanaume ni watu wa ajabu sana. Wakati wanaweza 
kujisifia hadharani kuwa naweza kumfanya hivi mwanamke,
 nikamgeuza vile, nikamnyanyua hivi na vile, tafiti za kisayansi 
zinabainisha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume, huwa hawapendi 
sana kuwataka wapenzi wao kubadili staili wakati wa kutombana.
 Ndio, inawezekana mnatumia staili mbalimbali, lakini sio kwasababu
 mnaambiana, bali kwakuwa unaweza kuta leo imetokea mwanamke 
alijiteka kifo cha mende, basi utaendelea...kesho akijitega mbuzi kagoma
 kwenda, itaendelea hivyo hivyo. 

Uchunguzi ambao umethibitishwa na wataalamu ni kuwa,
 wanawake huwapenda sana wanaume ambao wana uwezo
 na courage ya kuwataka wabadili mikao wanapokuwa 
wakiendelea na game. Ni kama mchezaji wa football vile, 
anavyowasisimua watazamaji pale anapoanza ku-invent mbinu 
za kubadili mchezo wakati mchezo ukiwa unaendelea. 
Hata kubadili mazingira tu yaweza kuleta msisimko wa kushangaza ! 

#11 – Kuwa mwenye shukrani 
Kama ulidhani kuwa shukrani kwa mwenzako ni asante tu, basi
 ulikosea. Hivi, unadhani wale makahaba wanaouza miili yao kule
 huwa hawaambiwi asante kwa huduma zao? Wanaambiwa sana tu,
 lakini mbona hawawakubali wale wote wenye kuwashukuru? 

Shukrani kwa mwenza wako inatakiwa iwe ya kivitendo zaidi
. Ufanye mwili wako uonyeshe kuwa unashukuru kwa vile anavyokupa 
mwenzako, kabla hata ya kutamka kwa mdomo wako kumshukuru.
 Kushukuru kwa mwili ni pamoja na kuwa "gentle" wakati wa kutombana 
kwenyewe, na sio unakuta mtu unakazana kumsugua mwanamke wako 
utadhani unadhamiria kuhakikisha kuwa unafidia bia ulizomnywesha, 
au mahari kubwa waliyokulipisha wazazi wake wakati wanakukabidhi
 (kama ni mkeo wa ndoa) Natumaini somo umelielewa ndugu msomaji
 wa makala hii,tuonane tena wiki ijayo.

back to top