Baada ya ukimya wa mwaka Diddy angusha video mpya..na mabadiliko ndo haya.

No Comments

MissInfo.tv » New Video_ Puff Daddy feat. Meek Mill “I Want The Love” - Google Chrome 2014-06-10 15.53


Habari zilizopo zinasema kwamba CEO wa badboys enterntainment aliyekuwa anaitwa Didy, hataki tena kuitwa hivyo na sasa anataka tena kuitwa Puff Daddy, akiwa ni msanii milionea ambaye amekuwa na vituko kila kukicha kwa kutaka kupadili majina yake kila baada ya miaka kadhaa, naona sasa mwaka huu amekosa option na kuamua kujikumbushia jina lake la zamani na kutaka kuitwa Puff Daddy kama alivyokuwa amezoeleka hapo mwanzo, kabla ya kudai kuwa anataka kuitwa Diddy.
p-diddy-pPamoja na mabadiliko hayo yote, ameamua kuvunja ukimya na kurudi rasmi katika game na nyimbo mpya ambayo imetokewa kupendwa na wanaharakati wengi wa muziki huu wa Hiphop, haswa kwa ujumbe wake alioutoa unaosema,” si lazima kunipenda na kunisifia kipindi nikiondoka duniani, nataka upendo angali bado hai”,- alisema Puff katika moja ya mashairi ya wimbo huu aliomshirikisha Meek Mill
back to top