vanessa mdee kula shavu lingine hili lakimataifa.

No Comments

10413015_1582864498606651_1198222396_n

Rumors has it kuwa Vanessa mdee ataonekana kwenye studio za cocacola, mbali na Diaond Platnumz na lady Jaydee, Vanessa Mdee ndio mwanamuziki watatu kuongeza list ya wasanii wakali kutoka Bongo waliofanikiwa kusign deal hilo la kuperform ndani ya studio hizo za cocacola. Kupitia account yake ya instagram alifunguka mbele ya mashabiki wake kutarajia kumuona aki-perform live katika studio, ndani ya Coke Studios Season Two zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni. “Coke Studio Africa
back to top