Kutovaa nguo za ndani kwamuumbua Naomi Campbell

No Comments



Mwanamitindo  wa  kimataifa  wa  Marekani, 

Naomi  Campbell  mwishoni  mwa  wiki  jana  
alikumbwa  na  tukio  la  aibu  baada  
ya tatizo  lake  la  kusahau  kuvaa  chupi 
 kumsababishia  tatizo  kubwa  wakati  
akishuka  kwenye  gari  lake  na  kukumbana 
 na  camera  za  wapiga  picha  za  kidaku....!

Kutokana  na  kutovaa  nguo  hiyo  ya  ndani,
 Naomi  wakati  akishuka  kwenye  gari  lake 
 hilo    alijikuta  nguo  zake  zikifunuka  na 
 kuacha  wazi  kabisa  nyeti  zake, na  wapiga
  picha  hao  wakafanikiwa  kumpiga 
 picha  kadhaa  ambazo  zimesambaa  mtandaoni....
Wengi  wa  walioziona  picha  hizo  wameibua
  mjadala  mtandaoni  kwa  kumtuhumu 
 mwanamitindo  huyo  kwa  kutojitunza 
 kwenye  nyeti  zake.
back to top