DIAMOND ANATISHA, ATWAA TUZO 7 KTMA

No Comments
Diamond Platnumz akipokea mojawapo ya tuzo kutoka kwa baby wake, Wema Sepetu 'Beautiful Onyinye'.
Damond akikumbatiana na mpenzi wake Wema kabla ya kukabidhiwa tuzo.
Diamond akiwashukuru mashabiki.
Mshindi wa tuzo saba (7) za Kilimanjaro Tanzania Music, Diamond Platnumz akiwa katika pozi na mpenzi wake Wema Sepetu.
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amejinyakulia jumla ya tuzo saba katika zoezi la utoaji tuzo za Kili lililofanyika ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam! Tuzo alizotwaa Diamond ni hizi hapa:
1. WIMBO BORA WA AFRO POP - Number One, Diamond Platnumz
2. MWIMBAJI BORA WA KIUME, KIZAZI KIPYA - Diamond
3. WIMBO BORA WA KUSHIRIKISHA/KUSHIRIKIANA - Muziki Gani, Nay wa Mitego ft  Diamond
4. MTUNZI BORA WA MWAKA KIZAZI KIPYA - Diamond
5. VIDEO BORA YA MUZIKI YA MWAKA - Number One, Diamond
6. WIMBO WA MWAKA - Number One, Diamond
7. MTUMBUIZAJI BORA WA KIUME WA MUZIKI - Diamond
back to top