





STAA wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameendelea kuwaasaidia wasiojiweza ambapo hivi karibuni ametembelea nyumba ishirini za watu ambao hawajawahi kufikiwa na misaada na wana maisha magumu kupindukia.
Nisha alitoa misaada mbalimbali vikiwemo vinywaji, unga, mafuta, sukari na mchele katika kijiji cha Donge Zanzibar akiwa ameambatana na wadogo zake pamoja na baadhi ya watu wa timu yake ya Team Nisha.
Nisha alitoa misaada mbalimbali vikiwemo vinywaji, unga, mafuta, sukari na mchele katika kijiji cha Donge Zanzibar akiwa ameambatana na wadogo zake pamoja na baadhi ya watu wa timu yake ya Team Nisha.