![](http://api.ning.com/files/NnMed0rJC6aBJIQTwXqC*yPRVFg1q9PyOqyVT4WBIXVN8OUHS0tAB37fQ7KoauItL7QSrK-eE4rWkxzG0kdhBsvSA16toGSZ/MASOGANGE.jpg?width=650)
VIDEO QUEEN ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio.
asogange aliiambia Bongowood kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu.”